Type Here to Get Search Results !

UKIMJERUHI MTU 𝗔𝗞𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜𝗞𝗜 NDANI YA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA NA SIKU MOJA "UMEUA".


 Kifungu cha 203, 205(1) na (2) cha kanuni ya adhabu sura ya 16.

Kwa mujibu wa vifungu hivyo hapo juu, kusababisha kifo si lazima kifo kitokee ndani ya siku ya tukio lililosababisha kifo cha mtu ili mtuhumiwa kushtakiwa kwa mauaji.

Ukimjeruhi MTU, na AKAFARIKI ndani ya siku uliyomjeruhi au ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na siku moja, na sababu za kifo chake zikawa ni majeraha aliyosababishiwa au tendo lolote alilofanyiwa kinyume cha sheria, basi mtenda kosa atahesabiwa kuwa ameua.

Imeandikwa na mwanasheria

Johnson Yesaya Mgelwa @yesayajm_

0758218269 na 0628729934

Tags

Post a Comment

0 Comments

Top Post Ad

Below Post Ad